Ekaristi Takatifu
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Ordinary TimeEucharist
Chorus
Ekaristi takatifu ni chakula chetu wanadamu
Ekaristi takatifu ni kinywaji chetu wanadamu
Aulaye mwili wa Yesu, na kuinywa damu yake
Ataishi milele na milele
Verse 2
Mwili wake Yesu Kristu, ni chakula cha kweli
Na damu yake Yesu ni kinywaji cha kweli
Verse 3
Twendeni kwenye karamu, Kristu anatuita
Anatukaribisha kwa mapendo ya kweli
Verse 4
Yesu alishuka kwetu, toka kwake Mbinguni
Alijitoa mwili ili atuokoe