SectionsOffertoryEe Ndugu Peleka

Ee Ndugu Peleka

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianOffertory
Verse 1

Ee ndugu peleka talanta yako kwa Bwana

Kwani Mungu alikupatia kwa kiasi chako

Nawe mrudishie Bwana kama wale watumishi

Kama wale waliopewa talanta mbili na tano

Verse 2

Kumbuka waliopewa talanta mbili na tano

Walileta mbili na tano faida

Bwana wao akawasifu kwa uaminifu wao

Akawapokelea nao akawakweza

Verse 3

Kumbuka aliwapatia tunzo la ufalme

Kwa hao waaminifu kwa hayo machache

Nao wakapewa yaliyo makubwa kwa bwana wao

Na sisi tupeleke talanta zetu kwa Bwana

Verse 4

Kumbuka Mungu alivyokupatia kwa wiki nzima

Atataka kufanya hesabu nawe

Ukumbuke kutoa hesabu kama wale wawili

Naye Bwana Mungu wako atakupokelea