Chorus
{ Ee Mungu wangu umenichunguza,
Ukanifahamu nilivyo mimi } *2n{ Wayafahamu matendo yangu
Nikiketi au kusimama, wewe unanijua mimi } *2
Verse 2
Nikiwa kazini waniona - wewe unanijua mimi
Wewe wajua mawazo yangu -
Ningali bado nafikiria -
Nikifanya mabaya gizani -
Verse 3
Wanizunguka kila upande -
Waniwekea mkono wako -
Maarifa hayo ni ya ajabu -
Siwezi kuyaelewa mimi -
Verse 4
Nikimbie wapi mbali na wewe -
Niende wapi nikajifiche -
Nikipanda juu wewe uko -
Nikiwa safarini waniona -
Verse 5
Umeniumba mwili na roho -
Ulinitengeneza tumboni -n` Hata kabla sijazaliwa -
Uwezo wako ni wa ajabu -