SectionsExitEe Mungu Wangu Mfalme

Ee Mungu Wangu Mfalme

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Ee Mungu wangu mfalme nitakutukuza

Nitalihimidi jina lako milele na milele

Verse 2

Bwana ana fadhili ni mwingi wa huruma

Si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema

Bwana ni mwema kwa watu wote

Na rehema zake zi juu ya kazi zake zote

Verse 3

Bwana kazi zako zote zitakushukuru

Na wacha Mungu wako watakuhimidi

Wataunena utukufu wa ufalme wako

Na kuuhadithia uweza wako

Verse 4

Ili kuwajulisha watu matendo yake makuu

Na utukufu wa fahari ya ufalme wake

Ufalme wako ni ufalme wa zamani zote

Na mamlaka yako ni ya vizazi vyote