SectionsExitEe Mungu Uniokoe

Ee Mungu Uniokoe

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

[b] Ee Mungu uniokoen[w] Maana maji yamepita mpaka nafsini mwangun[b] Ee Mungu uniokoen[w] Ninazama katika matope mengin{[a] Pasipowezekana (Bass) Kusimaman[w] Nimefika penye maji ya vilindi

Mtondo wa maji unanigharikisha *2}

Verse 2

Nimechoka kwa kulia kwangu koo yangu imekauka

Macho yangu yamedhoofunkwa kumngoja Mungu wangu

Verse 3

Wanaoonichukia bure ni wengin`Kuliko nywele za kichwa changu

Verse 4

Ee Mungu waujua upumbafu wangu

Wala hukufichwa dhambi yangu