Chorus
Ee Mungu Mungu mwenye rehema utuinuliye nurunya uso wako Mungu mwenye rehema, ee Bwana
Bwana Mungu, Sisi utuinuliye nuru ya uso wako
Verse 2
Ee Mungu wa haki uitike yangu nikuitapo
Umenifanyizia nafasi wakati wa shida
Verse 3
Jueni ya kuwa Bwana ameteua mtauwa
Bwana atasikia nimwitapo mimi
Verse 4
Wengi husema nani atakayetuonyesha mema
Bwana utuinulie nuru ya uso wako
Verse 5
Katika amani najilaza na kupata usingizi
Ndiwe unijaliaye kukaa salama