Chorus
[s] Ee Mungu mfalme Bwana mimi nitakutukuzan[w] Nitalihimidi jina lako Bwana *2n{ Kila siku nitakuhimidi ewe Mungu wangunnitalitukuza jina lako milel } *2
Verse 2
Bwana ana fadhili, ni mwingi wa rehema,
Si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema
Na rehema zake ni kwa viumbe vyote
Verse 3
Viumbe vyote vyako Mungu vitakusujudu
Na wacha Mungu wako watakuhidi
Wataunena utukufu wako na kuhadithia uweza wako.