Ee Bwana Mungu jina lako ni tukufu sana
Duniani na mbinguni wewe watawala! (pia*2)
Nikiziangalia mbingu kazi ya vidole vyako
Mwezi pia na nyota Bwana umeratibisha wewe
Wanyama wa porini, ndege, samaki warukaruka!n(Njooni) njooni tumwimbie Bwana
Njooni tumwimbie Bwana, yeye ameumba vyote
Njooni tumwimbie *2 njooni tuimbe na ngoma
Piga na zeze vinanda ametuumba njooni tumwimbie}
Kaumba nchi (kaumba wanyama)
Samaki wa baharini(-rini na ndege)
Vyote hivyo vyapendeza (-ndeza kama nini)
Njooni imbeni (njooni tumwimbie)
Mimea yote (ameumba yeye)
Nchi yote ikajaa misitu
Chakula chao wanyama (ni matunda yake)
Nyama na ndege wanaruka (-ruka angani
Tazama mtu (ndiye kitu gani)
Hata wewe umkumbuke (-mbuke ee Bwana)
Na binadamu ni nani (nani ee Bwana)
Umwangazie (kwa wema)