Chorus
Ee Maria, Mama wa Mungu,nutuombee sisi Wanao
Verse 2
Mwenye heri, wewe Bikira Maria,ntunakusalimu, Maria.
Verse 3
Uliyemchukua aliyekuumba,ntunakusalimu, Maria.
Verse 4
Umetuzalia Mkombozi wetu,ntunakusalimu, Maria.
Verse 5
Uliyekingiwa dhambi ya asili,ntunakusalimu, Maria.
Verse 6
Uliyepalizwa mbinguni kwa Mungu,ntunakusalimu, Maria.n
Verse 7
Mama wa Kanisa Mama yetu mwema,ntunakusalimu, Maria.
Verse 8
Wastahili sifa za vizazi vyote,ntunakusalimu, Maria.