Ee Bwana

Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

Ee Bwanantwakuomba upokee vipaji vyetu x2,nhivyo vyote ni mali yakontumepata kwa wema wako pokea x2

Verse 2

Mkate divai twakutolea

Twakuomba Baba upokee

Verse 3

Mazao ya mashamba twakutolea

Twakuomba Baba uyabariki

Verse 4

Pokea nazo nyoyo zetu

Pokea Baba twakuomba

Verse 5

Na fedha za mifuko twakutolea

Twakuomba Baba tubariki

Na kazi za mikono twakutolea

Twakuomba Baba zikupendeze

Verse 6

Furaha na uchungu twakutolea

Twakuomba Baba upokee.