Ee Bwana Wewe Ndiwe Mwenye Haki
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{Ee Bwana Bwana, Ee Bwana Bwana
Wewe ndiwe mwenye haki } *2n{ Na hukumu zako (na hukumu zako )
Na hukumu zako hukumu zako ni za adili } *2
Verse 2
Kama zilivyo rehema zako, unitendee mtumishi wako
Na amri amri zako, unifundishe unifundishe
Verse 3
Mimi ni mtumishi wako, unifahamishe unifahamishe
Nipate kuzitoa, shuhuda zako shuhuda zako
Verse 4
Bwana uwape amani wakungojao,
Ili watu wawasadiki manabii wako
Usikilize sala ya mtumwa wako, na ya taifa lako Israeli