SectionsEntranceEe Bwana Utege Sikio

Ee Bwana Utege Sikio

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Ee Bwana, ee Bwana utege sikio lako unijibu *2n{Wewe uliye Mungu wangu umwokoe mtumishi wako

Mtumishi wako anayekutumaini } *2

Verse 2

Ee Bwana unifadhili, wewe Bwana unifadhili

Maana nakulilia wewe mchana kutwa

Verse 3

Kwa maana wewe Bwana wewe Bwana u mwema

Umekuwa tayari kusamehe watu waote wakuitao

Verse 4

Ee Bwana unifadhili, wewe Bwana unifadhili

Maana nakulilia wewe mchana kutwa