Chorus
Ee Bwana usikie, kwa sauti yangu ninalia
Umekuwa msaada wangu usinitupe
Wala usiniache ee Mungu Mungu wa wokovu wangu
Verse 2
Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake
Nitaimba nitaimba naam nitamhimidi ee Bwana
Verse 3
Uliposema nitafuteniu nitafuteni uso wangi
Moyo wangu umekuambia Bwana Bwana uso wako nitautafuta