Chorus
(Ee Mwana wa Mungu unifanye leo nishirikinkwenye karamu yako karamu ya kiroho )* 2n(Sitaifunua siri kwa adui zako
Wala mimi sitakupa busu kama lile la Yuda) * 2
Bali kama yule mwizi
Ninakuomba ee Bwana unikumbuke mimi katika ufalme wako
Verse 2
Ninakuabudu Bwana kifulifuli,
Enzini uliyefichika Mungu uliye hai
Ulipo kweli chini ya maumbo haya,
Ya mkate pia divai ninajinyenyekeza
Karibu kwangu Bwana njoo ukae nami
Verse 3
Huu ni mwili na damu kweli ni hakika
Nikiona nigusa tena nikionja
Ni Yesu mwenyewe mimi pia ninasadiki
Aliyejitoa kwa ajili ya ulimwengu
Fumbo hili ni la kweli imani inaelewa
Verse 4
Kila ninapopokea komunyo takatifu
Ninarudishiwa nguvu mpya bila shaka
Ekaristi huimarisha mapendo moyoni
Yadumisha amani furaha iliyopotea
Hii hakika ni dawa safi ya roho