Chorus
{Ee Bwana unihukumu unitetee kwa taifa lisilo haki
Uniokoe na mtu wa hila asiye haki
Kwa kuwa wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu } * 2
Verse 2
Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze
Zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu, na hata maskani zako
Verse 3
Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu
Kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu
Verse 4
Nitakusifu kwa kinubi, ee Mungu, Mungu wangu