SectionsExitEe Bwana Unifadhili

Ee Bwana Unifadhili

Ordinary TimeExit
Chorus

{Ee Bwana unifadhili, maana nakulilia wewe mchana kutwa

Kwa maana wewe Bwana u mwema, umekuwa tayari kusamehe

Na mwingi wa fadhili kwa watu wote wakuitaao } * 2

Verse 2

Siku ya mateso yangu nitakuita

Kwa maana utaniitikia

Verse 3

Ee Bwana unifundishe njia zako

Nitakwenda katika kweli yako