Chorus
{Ee Bwana ulimwengu wote uko katika uweza wako}n|s| Wala hakuna awezaye kukupinga,nwala hakuna awezaye kukupinga (ukitaka*2)n|a| Wala hakuna, awezaaaye awezayenkuukupinga ukita-ka ukitakan|t| Wala hakuna awezaye kukupinganawezaye kukupinga ukitaka ukitakan|b| Wala Hakuna kukupinga awezayenkukupinga ukitaka
Verse 2
Ulitukuze jina lako na kututendea,
Sawasawa na wingi wa fadhili zako
Verse 3
Ee Bwana fadhili zako ni za milele Bwana
Usisahau kazi ya mikono yako
Verse 4
Ndiwe stara yangu Bwana utanihifadhi na mateso,nutanizungushia nyimbo za wokovu