Chorus
Ee Bwana uisikie haki, usikie haki
Utege sikio lako Bwana, kwa maombi yangu (Bwana)n{ Usikilize maombi yangu yasiyotoka katika,
Yasiyotoka katika midomo ya hila } *2
Verse 2
Nyayo zangu zimeshikamana, zimeshikamana na njia zako,
Hatua zangu haziku, hazikuondoshwa.
Verse 3
Ee Mungu nimekuita wewe, kwa maana wewe utaitika,
Utege sikio lako nisikie mimi.
Verse 4
Unifiche chini ya uvuli, chini ya uvuli wa mbawa zako
Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.