Chorus
Ee Bwana twaomba upokee sadaka yetu hii tunayokutolean{ Twakusihi sana ibariki Babaniwe safi sana iwe kama ile ya Abeli } *2
Verse 2
Baba twaleta mkate na divai, kazi ya mikono yetu Baba
Ibariki Baba, iwe safi sana iwe kama ile ya Abeli
Verse 3
Baba twaleta na fedha zetu, japo ni kidogo sana Baba
Zipokee Baba, zikupendeze ziwe kama zile za Abeli
Verse 4
Baba twaleta na sala zetu, Baba twakuomba zisikilize
Twakusihi sana, zisikilize kama sala zile za Abeli