Chorus
Ee Bwana twakuomba, pokea sadaka
Verse 2
Ya divai na ya mkate, nyoyo zetu upokee
Verse 3
Ya matendo na mawazo, nia zetu upokee
Verse 4
Ya Abeli iwe mfano, sadaka hii ipendeze
Verse 5
Mikononi mwake padre, ni sadaka yetu sote
Verse 6
Zigeuze mwili na damu, ya mwanao altareni