SectionsOffertoryEe Bwana Twakuomba Upokee

Ee Bwana Twakuomba Upokee

Ordinary Time,MarianOffertory
Chorus

Ee Bwana, twakuomba upokee vipaji vyetu *2n{ Hivyo vyote ni mali yako

Tumepata kwa wema wako pokea } *2

Verse 2

Mkate na divai twakutolea, twakuomba Baba upokee

Verse 3

Mawazo pia matendo yetu . . .

Verse 4

Twakutolea nan yoyo zetu . . .

Verse 5

Mazao ya mashamba twakutolea . . .

Verse 6

Na fedha za mifuko twakutolea . . .