Chorus
{ Ee Bwana, sistahili
Sistahili ee Bwana uje moyoni mwangu } * 2n{ Lakini sema neno Bwana sema nenon(neno tu)
Nami nitajongea mbele kwa karamu } *2
Verse 2
Karamu ya Bwana yatupa uzima
Ni mwili wa Bwana na damu yake
Verse 3
Hiki ni chakula kutoka Mbinguni
Bwana atuita kutushibisha
Verse 4
Huu mwili wangu hii damu yangu
Njooni kwangu nami nitawalisha
Verse 5
Siku zote Bwana atulisha sisi
Kwa chakula bora kutoka Mbinguni
Verse 6
Atukuzwe Baba atukuzwe Mwana
Atukuzwe Roho Mtakatifu daima yote