SectionsOffertoryEe Bwana Pokea Vipaji

Ee Bwana Pokea Vipaji

Ordinary TimeOffertory
Chorus

{ Ee Bwana pokea vipaji vyetu -

Ee Bwana pokea vipaji vyetuntunavileta mbele ya mezayo takatifu } 2n(ee Baba) uvibariki (na pia) uvitakase

Tunakuomba Bwana Mungu upokee

Verse 2

Ni mazao ya mashamba - Bwana Mungu upokee

Kazi ya mikono yetu -

Twakuomba upokee -

Verse 3

Tunaleta nyoyo zetu -

Nazo ugeuze Baba -

Tuwe wako maishani -

Verse 4

Tubariki wana wako -

Tufanikiwe daim -

Katika shughuli zetu -