SectionsExitEe Bwana Nitakutukuza {Ii}

Ee Bwana Nitakutukuza {Ii}

Ordinary TimeExit
Chorus

Ee Bwana nitakutukuza miminnitakutukuza Bwana wangun{Nitakutukuza Bwana } *2 kwa maana,nkwa maana umeniinua wala hukuwafurahishanadui adui zangu {Juu yangu} * 5

Verse 2

Umeniinua nafsi yangu kutoka kuzimu

Umeniuhuisha na kunitoa mwao washukao shimoni

Verse 3

Mwimbieni Bwana zaburi enyi watauwa

Na kufanya shukurani kwake kumbukumbu la utakatifu

Verse 4

Usikie Bwana Bwana wangu na kunirehemu

Pia uwe msaidizi wangu nitakushukuru Bwana