SectionsExitEe Bwana Nitakutukuza {I}

Ee Bwana Nitakutukuza {I}

Ordinary TimeExit
Chorus

Ee Bwana nitakutukuza, ee Bwana nitakutukuza

Kwa maana umeniinua wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu

Kwa maana umeniinua wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu

Verse 2

Ee Bwana Mungu wangu, nilikulilia ukaniponya

Verse 3

Ee Bwana Mungu wangu, umeniinua kutoka kuzimu

Verse 4

Ee Bwana umeniuhuisha na kunitoa kati yao watokao shimoni

Verse 5

Mwimbieni Bwana zaburi enyi watauwa wake na kufanya shukurani