Ee Bwana Nitakushukuru
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Ee Bwana nitakushukurunkwa moyo wangu wote
Ee Bwana nitakushukurunkwa moyo wangu wote
Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi,
Nitashukuru nikilikabili hekalu lako takatifu*2
Verse 2
Kwa maana umeikuza ahadi yangu
Kuliko jina lako lote
Verse 3
Ingawa Bwana yuko juu naye amuona
Amwona mtu Yule mnyenyekevu
Verse 4
Ee Bwana fadhili zako ni za milele
Usiziache kazi za mikono yako