Chorus
Ee Bwana ee Bwana, nimekuita kwa maana utaitikan{Utege sikio lako utege sikio lako usikie neno neno langu } * 2
Verse 2
Ee Bwana unilinde kama mboni ya jicho
Unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako
Verse 3
Ee Bwana kwa mkono wako wa kuume
Uniokoe nao wanaoondokea