SectionsExitEe Bwana Nakuinulia Nafsi

Ee Bwana Nakuinulia Nafsi

Ordinary TimeExit
Chorus

{Ee Bwana * 3 nakuinulia nafsi yangu }*2n{Ee Mungu nimekutumaini }*3nwewe nisiaibike milele *2

Verse 2

Ee Bwana unijulishe nijulishe njia

Unifundishe mapito yako

Verse 3

Niongoze katika kweli katika kweli yako

Uniongoze na kunifundisha

Verse 4

Bwana Mungu ni mwema sana pia

Ni mwenye adili atawafundisha wenye dhambi