Chorus
{Ee Bwana Mungu wetu utuokoe
Utukusanye kwa kututoa katika mataifa } * 2
Tulishukuru jina la Bwana takatifu
Tuzifanyie shangwe (sifa zako) Sifa zako Bwana
Verse 2
Ahimidiwe Bwana Mungu wa Israeli
Tangu milele hata milele, watu wako waseme sifa kwa Mungu
Verse 3
Mshukuruni Bwana Mungu kwani ni mwema
Mshukuruni kwa maana fadhili zake ni za milele na milele
Verse 4
Mfanyieni Bwana shangwe dunia yote
Mtumikieni kwa furaha njooni mbele zake kwa kuimba zaburi