Ee Bwana Mungu Nikupe Nini
Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
Ee Bwana Mungu na mimi nikupe nini?
Nina zawadi kidogo ee Bwana wangu, pokea zawadi
Verse 2
Ee Bwana Mungu na mimi nikupe nini,
Nakutolea mkate nayo divai, pokea zawadin
Verse 3
Ee Bwana Mungu na mimi nikupe nini,
Nakutolea mazao ya mashambani, pokea zawadi
Verse 4
Ee Bwana Mungu na mimi nikupe nini,
Nilivyo navyo ni vyako ee Bwana wangu, pokea zawadi