SectionsExitEe Bwana Kumbuka Rehema Zako

Ee Bwana Kumbuka Rehema Zako

Ordinary TimeExit
Chorus

{Ee Bwana, ee Bwana ee Bwana kumbuka rehema zakonna fadhili zako ee Bwana }* 2n{Kwa maana zimekuwapo

Kwa maana zimekuwapo tokea zamani

Kwa maana zimekuwapo tokea zamani } * 2

Verse 2

Ee Bwana ee Bwana unijulishe njia zako

Unifundishe mapito yako

Uniongoze katika kweli yako na kunifundisha

Maana wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu

Verse 3

Usiyakumbuke makosa makosa ya ujana wangu

Wala maasi yangu

Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako ee Bwana

Kwa ajili ya wema wako, kwa ajili ya wema wako