SectionsOffertoryEe Bwana Ikupendeze

Ee Bwana Ikupendeze

Ordinary TimeOffertory
Chorus

{ Ee Bwana ikupendeze, Bwana ikupendezensadaka ya siku kuu hii ya leo } *2n{ Sadaka hii ndiyo fidia timilifu,

Ya kutupatanisha na wewe Mungu Baba,

Na pia ibada timilifu ya kukutolea wewe ee Mungu wetu } *2

Verse 2

Tunakutolea mkate na divai

Kazi ya mikono yetu wanadamu

Verse 3

Tunakutolea pia fedha zetu,

Pia na mazao ya mashamba yetu

Verse 4

Tunakutolea nazo nafsi zetu,

Kwa unyenyekevu na kwa moyo safi