Chorus
{ Ee Bwana ikupendeze, Bwana ikupendezensadaka ya siku kuu hii ya leo } *2n{ Sadaka hii ndiyo fidia timilifu,
Ya kutupatanisha na wewe Mungu Baba,
Na pia ibada timilifu ya kukutolea wewe ee Mungu wetu } *2
Verse 2
Tunakutolea mkate na divai
Kazi ya mikono yetu wanadamu
Verse 3
Tunakutolea pia fedha zetu,
Pia na mazao ya mashamba yetu
Verse 4
Tunakutolea nazo nafsi zetu,
Kwa unyenyekevu na kwa moyo safi