SectionsExitEe Bwana Fadhili Zako

Ee Bwana Fadhili Zako

Ordinary TimeExit
Chorus

Ee Bwana, ee Bwana, fadhili zako zikae nasi *2n{ Kama vile tulivyokungoja wewe (Bwana)

Kama vile tulivyokungoja wewe Bwana wewe Bwana } *2

Verse 2

Kwa kuwa neno la Bwana, neno la Bwana lina adili

Na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu

Verse 3

Hupenda haki na hukumu, hupenda haki na hukumu

Nchi imejaa fadhili za Bwana

Verse 4

Tazama jicho la Bwana, li kwao wamchao

Wazingojeeao fadhili fadhili za Bwana