Chorus
{ Ee Baba pokea sadaka yetu tunayokutolea
Hiyo ni kazi ya mikono yetu wanadamu } *2n{Twakuomba uipokee, ee Bwana uibariki
Bwana sadaka hii tunayokutolea } *2
Verse 2
Mkate pia divai tunakutolea
Upokee utakase na ubariki
Verse 3
Na mazao ya mashamba Baba upokee
Ni zawadi ya mavuno kwa mikono yetu
Verse 4
Nyoyo zetu tunakupa zote mali yako
Na fedha zetu tunaleta, Baba zipokee