Dunia Yasisimka

Ordinary TimeBible Procession
Verse 1

Dunia yasisimka kwa Injili /ya neno la Bwana,

Nasi furaha tumejaa, aleluya/ale-aleluya.

Chorus

Neno lako ewe Bwana , litangazwe siku zote *2

Verse 3

Roho wa Bwana yu juu/yako wewe / amekuteua,ntuondolee upofu wetu wote tupate kuona.

Verse 4

unatuletea sisi maskini/neno lako jema ,

Na sisi tuliofungwa , usalama / tupate uhuru.

Verse 5

unautangaza mwaka wa huruma/ na wa rehema kuu

Tuliovunjika na kukata moyo / we' unatutibu

Verse 6

Ndiwe nuru kwetu sisi wanadamu / ya kutuangaza,