Dira

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Asipojenga nyumba wale waijengaonwanafanya kazi bure na wanapoteza muda

Na wanaoulinda mji wanapoteza usingizinmaana wanakesha bure wao si lolote si kitu

Hakuna jema nje ya Mungu, hakuna mali pasipo yeye

Hakuna ushindi bila Mungu wala kufanikiwa asipokuwaponn{(Yeye) Ni nguzo ya yote, nguzo ya kila kitu

Ni uwezo wote na sababu ya mema yoten(Yeye) ni dira (aoh) daima tumtangulize * 2 } *2

Verse 2

Ewe tajiri mali uliyo nayo isalimishenmikononi mwake Mungu

Verse 3

Nawe msomi vyeti ulivyo navyo ni vumbi tupinkama hujampa Mungu

Verse 4

Ewe mzima, nguvu na afya na uhai ni bure

Kama havilindi Mungu

Verse 5

Kuumwa kwako na shida zako zitakuangamiza,nkama hujampa Mungu

Verse 6

Ni nguzo yetu na dira yetu

Ni ngao yetu milele