SectionsExitDhihirisha Fadhili

Dhihirisha Fadhili

MarianExit
Chorus

Dhirisha fadhili fadhili zako za ajabunwewe uwaokoaye wanaokukimbilia

Wasinione wasio haki, wananionea

Adui za roho yangu wanaonizungukan{ Bali mimi bali mimi niutazame usonwako katika haki

Niamkapo nishibishwe kwa sura yako } *2

Verse 2

Wamenishtaki kwa makosa yao wenyewe,

Wakanihukumu kwa madhambi waliyotenda

Wamekunywa damu yangu waonekane wemanmbele ya watu

Verse 3

Ushike kigao ushike ngao usimame

Bwana utete nami