Dhambi Ilikuja

Ordinary TimeBible Procession
Verse 1

Mwokozi wetu Yesu twakuomba, sisi tu wanyonge

Roho zetu twazitoa kwako, twakuomba utusaidie

Twakuomba utuponyeshe.

Chorus

Dhambi ilikuja , dhambi ilikuja

Dhambi ilikuja ulimwenguni ikatuletea magonjwa

Dhambi imeondoa-usalama

Dhambi imetuondolea nguvu

Katuletea kifo na shida

Dhambi imetutenga na Mungu

Verse 3

Na mfano tutawapa, nyoka usipompasua kichwa

Analetewa majani na mwenzakenanapata joto na kwenda

Verse 4

Twaenda kwa waganga twatoa kweli pesa nyingi sana

Tunatibiwa na kuchanjachanjwa

Twasahau mganga ni Yesu