Verse 1
Bwana, ningependa mimi niwe, Chombo cha amani yako
Bwana, nitumie mimi niwe, Chombo cha amani yako
Chorus
Nitumie Bwana, kama chombo (chombo)
Bwana, neno lako nihubiri
Nilete suluhisho, pasipo Amani,
Nilete furaha, pasipo na furaha
Verse 3
Nchi, imekumbwa sana sana, mambo yasiyopendeza
Sasa ukabila hatutaki, leta oh amani yakon
Bwana, sisi sote ni watoto, wake Mungu baba yetu
Bwana, situache tupotee, bali, tuenende nawen
Neno lako Bwana ni amani, leta oh amani kwetu
Tena neno lakoni upendo, leta oh upendo kwetu