SectionsEntranceChereko Bwana Amefufuka

Chereko Bwana Amefufuka

EasterEntrance
Chorus

{ Chereko chereko chereko chereko( chereko)

Chereko chereko Bwana amefufuka } *2

Verse 2

Ni siku ya tatu malaika wa Bwana

Akamwaambia Maria, Bwana amefufuka

Verse 3

Petro Yohane waenda kaburini

Wakakuta kaburi, kaburi liko wazi

Verse 4

Malaika kasema, nendeni Galilaya

Huko ndiko aliko, amewatangulian

Verse 5

Ni siku ya furaha, ni siku ya amani

Chereko chereko Bwana amefufuka

Verse 6

Nyimbo nzuri tuimbe, tukimsifu Mwokozi

Vigelegele na ngoma tuimbe aleluya