SectionsExitChenga Ya Mwili

Chenga Ya Mwili

Baptism,BaptismExit
Chorus

Nimempiga shetani chenga ya mwili

Kuisalimisha roho yangu kuisalimisha roho

Nimempokea Yesu moyoni mwangu

Nipate uzima wa milele ili niishi milele

Verse 2

Tazama nimebatizwa kwa nafsi tatu

Baba mwana naye Roho Mtakatifu

Nimempokea Kristu moyoni mwangu

Kwa mwili na damu yake nimeshibishwa

Verse 3

Nimempokea Roho Mtakatifu

Amenijaza mapaji mapaji saba

Nimeikiri imani, imani yangu

Nimemkana shetani na mambo yake.

Verse 4

Nikikumbuka kiapo cha ubatizo

Najionea fahari ya ukristu wangu

Nikikumbuka ungamo la dhambi zangu

Ninaukiri upendo wa Yesu Kristu.

Verse 5

Nimeshamweka kando, shetani mwovu

Aliye mpotoshaji wa mambo mema

Alishaniweka kwenye, imaya yake

Alinidanganya sana na mambo yaken