Chorus
Nimempiga shetani chenga ya mwili
Kuisalimisha roho yangu kuisalimisha roho
Nimempokea Yesu moyoni mwangu
Nipate uzima wa milele ili niishi milele
Verse 2
Tazama nimebatizwa kwa nafsi tatu
Baba mwana naye Roho Mtakatifu
Nimempokea Kristu moyoni mwangu
Kwa mwili na damu yake nimeshibishwa
Verse 3
Nimempokea Roho Mtakatifu
Amenijaza mapaji mapaji saba
Nimeikiri imani, imani yangu
Nimemkana shetani na mambo yake.
Verse 4
Nikikumbuka kiapo cha ubatizo
Najionea fahari ya ukristu wangu
Nikikumbuka ungamo la dhambi zangu
Ninaukiri upendo wa Yesu Kristu.
Verse 5
Nimeshamweka kando, shetani mwovu
Aliye mpotoshaji wa mambo mema
Alishaniweka kwenye, imaya yake
Alinidanganya sana na mambo yaken