Verse 1
Sasa ninahisi harufu ya chakula,
Harufu nzuri tena ya kipekee,
Kweli ninahisi harufu ya kinywaji
Harufu nzuri tena ya kipekeen
Chorus
Amkeni wapenzi (twende) kule sebuleni
Tuandamane sote (twende) tufike mezani
Tukamwone mpishi (huyo) aliye imara,
Tukamwone ni nani huyo anayesisimua lo, n(kumbe ni Yesu ametuandalia mazuri
Tujitakase tushiriki chakula bora *2)n
Verse 3
Kati ya wapishi wote ulimwenguni
Sijawahi ona mpishi kama Yesu,
Anayeandaa chakula cha thamani
Kinachodumisha uhai siu zoten
Verse 4
Kati ya wafalme wote ulimwenguni
Sijawahi ona aliyefanikiwa
Kuwaandalia watu wote karamu
Akawashibisha pasipo ubaguzin