Chorus
Bwana yesu kazaliwa,ntumwimbie kwa furaha: Aleluya.
Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya, aleluya.
Verse 2
Kwa ajili yetu sisi, amezaliwa kitoto-
Chorus
aleluya
Verse 4
Amezaliwa kitoto, nasi tumepewa
Mwana -
Verse 5
Utawala na uwezo, vipo mabeganinmwake -
Verse 6
Jina lake ndilo Baba,nwa milele, tena mfalme -
Verse 7
Enzi yake ya kifalme, haitakuwa na mwisho -
Verse 8
Anakalia kitiye, chake Daudi babaye -
Verse 9
Furaha, binti Sioni, umpokee Bwana wako -
Verse 10
Dunia na ifurahi, nchi na ishangilie -