SectionsEucharistBwana Yesu Alitamka

Bwana Yesu Alitamka

Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,Advent,Advent,Advent,Advent,Baptism,Baptism,Lent,Lent,BaptismEucharist
Verse 1

Bwana Yesu alitamka- mimi ndimi njia yankweli, mtu haji kwa Baba yangu-ila kwannjia yangu mimi

Hebu jiulize, njia gani uifuatayo, nawenwaelekea wapi na wafuata njia ya kweli

Verse 2

Njia nyembamba yenye tabu ndiyoniendayo Mbinguni na ile pana ya anasanyaelekea Jehanam

Verse 3

Ngamia ni rahisi sana kuingia tundunla sindano, kuliko mtu mwenye dhambinkuingia Mbinguni kwa Baba

Verse 4

Mimi ndimi mwanzo na mwishonmimi Alfa na Omega

Mtu haji kwa Baba yangunila kwa njia yangu mimi