Verse 1
Bwana Yesu alitamka- mimi ndimi njia yankweli, mtu haji kwa Baba yangu-ila kwannjia yangu mimi
Hebu jiulize, njia gani uifuatayo, nawenwaelekea wapi na wafuata njia ya kweli
Verse 2
Njia nyembamba yenye tabu ndiyoniendayo Mbinguni na ile pana ya anasanyaelekea Jehanam
Verse 3
Ngamia ni rahisi sana kuingia tundunla sindano, kuliko mtu mwenye dhambinkuingia Mbinguni kwa Baba
Verse 4
Mimi ndimi mwanzo na mwishonmimi Alfa na Omega
Mtu haji kwa Baba yangunila kwa njia yangu mimi