Bwana Upokee

Presentation of Gifts
Chorus

Bwana, upokee, Bwana upokee zawadintwaleta *2

Verse 2

Mkate na divai - zawadi twaleta

Mazao ya mashamba -

Na pia nafsi zetu -

Vyote tulivyonavyo -

Furaha na uchungu -

Verse 3

Na kiini cha ngano -

Na tunda la mzabibu -

Fedha za mifukoni -

Nafaka upokee -

Twakutolea vyote -

Verse 4

Kwako Baba Muumba -

Kwa njia ya Mwokozi -

Katika Mfariji -

Ipate kugeuzwa -

Iweze kutufaa -

Verse 5

Pokea twakuomba -

Ingawa ni kidogo -

Twakutolea kwa moyo -

Baba, usikatae -

Vipaji vya wanao -