Chorus
Bwana, unihifadhi mimi,
Nakulilia wewe mchana kutwa.
Verse 2
Unisikilize, maana mimi ni fukara,nee Bwana.
Verse 3
Wewe ni Mungu wangu,nunionee huruma, ee Bwana.
Verse 4
Mimi ninakulilia, mchana kutwa,nee Bwana
Verse 5
Wewe u mwema, na mwenye huruma,nee Bwana
Verse 6
Umejaa upendo, kwa wotenwanaokuomba, ee Bwana
Verse 7
Usikie sala yangu, uangalie kilionchangu, ee Bwana
Verse 8
Siku za tabu, nakuita, ee Bwana
Verse 9
Hakuna Mungu, aliyekama wewe,nee Bwana
Verse 10
Hakuna awezaye kufanya,nunavyofanya wewe, ee Bwana