Verse 1
Bwana roho zetu zatamani -nhayo maji yenye uzima
Bwana roho zetu zina kiuntupe maji hayo ya uzima
Ee Bwana tuna kiu tunyweshe
Tuna kiu ee Bwana tupe maji hayo yanuzima x2
Verse 2
Wewe ndiwe taa ya maisha wewenndiwe mweza wetu
Wewe ndiwe mwanga wetu sotenutatuongoza daima
Ee Bwana tunakuja daima tuko nawe
Ee Bwana utatuongoza daima x2
Verse 3
Wewe ndiwe nguvu yetu sote wewenndiwe mweza vyote
Tupigwapo kumbo na shetani wewenndiwe tulizo letu
Ee Bwana tuongoze daima maishani
Ee Bwana tupe nuru yako njiani x2n