Bwana Ninakuita

Ordinary TimeBible Procession
Verse 1

Bwana ninakuita kwa maana utaitika

Utege sikio lako Mungu wangu

Bwana usikilize sala nayo maombi yangu

Unifanye niwe chombo cha amani

Chorus

Unifanye niwe chombo cha amani ee Bwana

Unifanye mimi niwe nuru ya mataifa

Mashariki magharibi, niende

Niihubiri imani ya Bwana

Kaskazini na kusini niende

Niuhubiri upendo wa Bwanan{ Nitembee pande zote mimi Bwana, ee Bwana

Nikalitangaze neno lako kwa mataifa } *2

Verse 3

Bwana uniongoze jina lako ni fimbo yangu

Wewe ndiwe ngao yangu niendapo

Bwana upendo wako nashindwa kusimulia

Na ninakupenda sana Mungu wangu

Verse 4

Bwana uniongoze niyashinde majaribu

Wewe ndiwe ngao yangu niendapo

Bwana watesi wangu tazama ni wengi sana

Niongoze nimshinde mwovu shetanin