SectionsThanksgivingBwana Nikufananishe Na Nani

Bwana Nikufananishe Na Nani

Ordinary Time,MarianThanksgiving
Chorus

Bwana nikufananishe na nini

Au nikufananishe na nani

Pendo lako Bwana ni la ajabu

Ndiyo sababu ya furaha yangu

Verse 2

Kwa kuwa Bwana ulinijua

Tangu tumboni mwa mama yangu

Ukanitunza kwa upendo

Ukanijaza pendo lakon

Verse 3

Nilipokuwa kwenye mateso

Nilifikiri umeniacha

Mawazo yangu ya kitoto

Sikutambua pendo lakon

Verse 4

Kwangu ulijifunua Bwana

Moyo wangu ulikutambua

Matendo mengi yenye nguvu

Uliyotenda mbele yangu