Bwana Nikufananishe Na Nani
Ordinary Time,MarianThanksgiving
Chorus
Bwana nikufananishe na nini
Au nikufananishe na nani
Pendo lako Bwana ni la ajabu
Ndiyo sababu ya furaha yangu
Verse 2
Kwa kuwa Bwana ulinijua
Tangu tumboni mwa mama yangu
Ukanitunza kwa upendo
Ukanijaza pendo lakon
Verse 3
Nilipokuwa kwenye mateso
Nilifikiri umeniacha
Mawazo yangu ya kitoto
Sikutambua pendo lakon
Verse 4
Kwangu ulijifunua Bwana
Moyo wangu ulikutambua
Matendo mengi yenye nguvu
Uliyotenda mbele yangu