SectionsExitBwana Ni Nuru Yangu

Bwana Ni Nuru Yangu

Baptism,Ordinary TimeExit
Verse 1

Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu

Nimwogope nani na nimhofu nani

Bwana ni ngome yangu na uzima

Nimwogope nani na nimhofu nani

Chorus

Nimeamua (mimi ) maisha yangu (yote )

Nitakaa nyumba

I mwake mungu. *2

Verse 3

Nikitazama uzuri wake Bwana

Moyoni ninapata nguvu kumfuata.

Ninapotafakari hekaluni mwake

Verse 4

Jeshi la mwovu likipigana nami

Sitaogopa kwani Mungu yuko nami.

Hata watesi na adui wakijan

Verse 5

Napiga moyo kode nikimngoja Bwana

Ufalme wake ndio tumaini langu.

Na wema wake kweli mimi nitapatan